logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Msanii Ruby asema anatamani kufa, kunani?

Ruby amesema kwamba anataka kufa ili akapumzike kutoka kwa changamoto za dunia.

image
na

Habari11 April 2022 - 08:48

Muhtasari


• Ruby amewaacha mashabiki wakikuna vichwa kwa kauli yake ya kutaka kufa.

• Alisema kwamba anataka kupumzika.


Mwanamuziki Ruby amewashangaza mashabiki wake baada ya kupakia ujumbe kwenye akaunti yake ya Instagram akisema kwamba anataka kufa.

Kulingana na ujumbe huo, Ruby alisema kwamba anataka kuondokea mambo mengi na changamoto za dunia.

Mpaka sasa haijajulikana sababu kuu iliyompelekea msanii huyo kuachia kauli hiyo, huku mashabiki na washikadau wakizidi kutoa maoni tofauti.

Wadau pia waliwataka wandani wake kumpigia simu na kumtafuta kuhakikisha yupo salama.

Aidha, baadhi ya watu walikisia kwamba huenda hatua hiyo ilijiri kufuatia mvutano unaoendelea kati yake , Aunty Ezekiel na mpenzi wake wa zamani, Kusah. 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved