logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ana miaka 2 ya kuishi! - Mwanawe Chameleone afichua matatizo ya kiafya ya babake

Abba alifichua kuwa babake anaugua ugonjwa wa kongosho ambao umesababishwa na unywaji pombe kupita kiasi.

image
na Samuel Mainajournalist

Mastaa wako17 December 2024 - 08:40

Muhtasari


  • Kijana huyo alisema kwamba babake amepambana na uraibu wa pombe kwa muda mrefu ambao umeleta matatizo makubwa ya kiafya.
  •  Abba alisema madaktari tayari wamemwonya babake wakimtahadharisha kwamba hana muda mwingi wa kuishi ikiwa ataendelea kulewa.