logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ana miaka 2 ya kuishi! - Mwanawe Chameleone afichua matatizo ya kiafya ya babake

Abba alifichua kuwa babake anaugua ugonjwa wa kongosho ambao umesababishwa na unywaji pombe kupita kiasi.

image
na Samuel Mainajournalist

Mastaa wako17 December 2024 - 05:40

Muhtasari


  • Kijana huyo alisema kwamba babake amepambana na uraibu wa pombe kwa muda mrefu ambao umeleta matatizo makubwa ya kiafya.
  •  Abba alisema madaktari tayari wamemwonya babake wakimtahadharisha kwamba hana muda mwingi wa kuishi ikiwa ataendelea kulewa.

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved