logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Terence awashauri wanawake walio kwenye ndoa kuwavumilia waume zao wakati hawana pesa

Mtengenezaji huyo wa maudhui hata hivyo ametaka wanaume kujituma wakati wapenzi wao wa kike 'wanawaweka'

image
na Brandon Asiema

Mastaa wako17 December 2024 - 14:58

Muhtasari


  • “Hakuna shida mwanamume kuwekwa na mwanamke, wanawake ikiwa mume wako hayuko vizuri kihela, mpe sapoti na umheshimu.”  Alisema Terence.
  • Terence amesema kwamba mkewe alikuwa anawajibikia takribani asilimia 98.9 ya bili zote wakati walikuwa wanachumbiana.