logo

NOW ON AIR

Listen in Live

"Bado naendelea kusukuma!" Mr Seed asema kihisia huku akipangusa kaburi la mamake

“Nakupenda mama, endelea kupumzika maah! Bado ninaendelea kusukuma mbele,” Mr Seed alisema.

image
na Samuel Mainajournalist

Mastaa wako03 January 2025 - 09:25

Muhtasari


  • Seed alichapisha video yake akiwa amezama katika hisia kali mahali alikozikwa mamake huku akifuta vumbi juu ya kaburi hilo.
  •  Haya yanajiri takriban miezi minne baada ya mamake mwimbaji huyo, Bi Teresa Auma Otieno kuzikwa nyumbani kwake Siaya .