logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wanasoka wa thamani kubwa ambao mikataba yao inaisha Juni 2025

Klabu ya Liverpool inaongoza kwa kuwa na wachezaji 3 wenye tajriba ya hali ya juu ambao huenda wakaondoka kwa senti sifuri mwishoni mwa msimu huu.

image
na Samuel Mainajournalist

Grafiki08 January 2025 - 15:02

Muhtasari


  • Wachezaji kama De Bruyne, Ronaldo, Salaha, Van Dijk, Trent Anorld ni miongoni mwa majina kubwa ambao wamesalia na miezi 5 tu katika mikataba na vilabu vyao.
  • Klabu ya Liverpool inaongoza kwa kuwa na wachezaji 3 wenye tajriba ya hali ya juu ambao huenda wakaondoka  kwa senti sifuri mwishoni mwa msimu huu.