logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Watu Mashuhuri Ambao Mwanawe Museveni Anawaona Kama Mifano Bora Kwake

Pia aliwataja wanamapinduzi wa kikomnisti kutoka nchini Cuba, Fidel Castrol, Che Guevara na Camilo Cienfuegos kama mifano bora ya kuongoza maisha yake.

image
na MOSES SAGWEjournalist

Grafiki09 January 2025 - 16:55

Muhtasari


  • Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwanawe rais Museveni ndiye pia mkuu wa majeshi ya Uganda, UPDF.
  • Muhoozi aliorodhesha watu 9 ambao anawaona kama mifano bora akiwemo babake, na pia rais wa taifa jirani la Rwanda, Paul Kagame.
  • Pia aliwataja wanamapinduzi wa kikomnisti kutoka nchini Cuba, Fidel Castrol, Che Guevara na Camilo Cienfuegos kama mifano bora ya kuongoza maisha yake.



RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved