logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Watu Mashuhuri Ambao Mwanawe Museveni Anawaona Kama Mifano Bora Kwake

Pia aliwataja wanamapinduzi wa kikomnisti kutoka nchini Cuba, Fidel Castrol, Che Guevara na Camilo Cienfuegos kama mifano bora ya kuongoza maisha yake.

image
na MOSES SAGWEjournalist

Grafiki09 January 2025 - 16:55

Muhtasari


  • Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mwanawe rais Museveni ndiye pia mkuu wa majeshi ya Uganda, UPDF.
  • Muhoozi aliorodhesha watu 9 ambao anawaona kama mifano bora akiwemo babake, na pia rais wa taifa jirani la Rwanda, Paul Kagame.
  • Pia aliwataja wanamapinduzi wa kikomnisti kutoka nchini Cuba, Fidel Castrol, Che Guevara na Camilo Cienfuegos kama mifano bora ya kuongoza maisha yake.