logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwakilishi wodi Nairobi ashtakiwa kwa madai ya ulaguzi wa dawa za kulevya

Mwakilishi wodi Nairobi ashtakiwa kwa madai ya ulaguzi wa dawa za kulevya

image
na

Burudani02 October 2020 - 11:06
Redson-Otieno-Onyango
Mwakilishi wa wodi ya Ngei alikamatwa na maafisa wa upelelezi jana jioni katika uwanja wa ndege wa JKIA  alipopatikana na dawa za kulevya. Redson Otieno Onyango alipatikana na dawa aina ya Heroine.

Soma hapa:

Katika chapisho la idara ya DCI katika mtandao wa Facebook jana ijumaa, kiongozi huyu atashtakiwa na kosa la ulanguzi wa dawa za kulevya.

Soma hapa :

"Mwakilishi wa wodi ya Ngei Redson Otieno Onyango leo jioni amekamatwa na makachero kufuatia kupatikana na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa JKIA Aprili 19,2019. Atashkiwa na kosa la la kulangua dawa za kulevya." DCI

Hadithi imehaririwa na kutafsiriwa na Abraham Kivuva


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved