Biashara ya dogo huyu ilikuwa ya kuuza matiti peke yake.
Idea au dili hii ya kibiashara ilitokana na rafiki yake aliyekuwa na msimamo kuwa lazima watafute utajiri wa haraka haraka.
Kilichomvutia katika biashara hii ni kuwa dili ilikaa freshi na ingewatengenezea kima cha laki moja pindi wanapouza.
"Kitita cha pesa kilitegemea ukubwa wa titi. Doh ilikuwa kati ya 25,000- 80,000..."
Hatimaye maafisa wa polisi waliwashika na kuwafunga jela.
"Wakati story zilisambaa tukaanza kutembelea maeneo ya ajali. Kuna time pia tungefanya order katika mortuary ya Kenyatta. Wakati polisi walijua tukashikwa tukafungwa."