logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fahamu;Orodha ya Watoto wa wasanii ambao ni warembo kupindukia

Fahamu;Orodha ya Watoto wa wasanii ambao ni warembo kupindukia

image
na

Habari02 October 2020 - 09:57
Mbali na nyimbo zao na changamoto ambazo wamepitia  wasanii na waigizaji wamepitia katika maisha yao ,wasichokijuwa wengi ni kuwa wamejaaliwa watoto walio na mvuto wa kutamanika.

Baadhi ya watoto hao ni kama,

Ladasha Belle

Ni mwanawe Size 8 na DJ Mo ambaye baada ya shida mama yake alipitia alipokuwa anajifungua, alipata mrembo wa kupigiwa mfano na wengi.

Heaven Bahati

Anafahamika sana kwa urembo wake na hata katika mtandao wa kijamii kwa picha zake.

Ethan Huru Ndichu

Ni kijana wa mwanahabari Janet mbugua ambaye anajulikana kwa umbali kwa sababu ya uzuri wake na hata urembo wake.

Ethan alisherehekea siku yake ya kuzaliwa Octoba,29 mwaka jana huku akisherehea mwaka mmoja.

Zawadi na Raha

Ni mapacha wa Grace Msalame, wamekuwa kwa haraka sana baba yao ni nduguye mumewe Janet mbugua.

Nyakio Mathenge

Ni wasanii ambao wamebarikiwa na mrembo wa wote, wasanii hao ni Nameless na Wahu.

Wanawe DJ Soxxy

Amebarikiwa na watoto wawili ambao urembo wao hauna wengi. Soxxy ambaye ni Dj wa nyimbo za injili yeye na mkewe wamebarikiwa kweli.

Mwanawe Octopizzo

Ni msichana ambaye urembo wake ulionekana akiwa mchanga sana.

Wanawe massawe Japanni

Si ajabu tu mrembo wa mama ulienda kwa wanawe , mwanahabari huyo amekuwa akisherehekea urembo wa wanawe kila mara.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved