logo

NOW ON AIR

Listen in Live

“Kizungu yako inahitaji quarantine!” Mashabiki wamwambia Ringtone

“Kizungu yako inahitaji quarantine!” Mashabiki wamwambia Ringtone

image
na

Yanayojiri02 October 2020 - 09:10
Uvumi nao unazo habari za msanii wa nyimbo za injili Ringtone na malkia wa Tiktok Azziad Nasenya,wawili hao inasemekana kuwa ni wapenzi baada ya Ringtone kuposti picha yake na Azziad kwenye mitandao ya kijamii.

Ni picha ambayo iliwaacha mashabiki wake wakiulizana maswali yasiyokuwa na majibu, kuna wale walimpongeza Ringtone huku wengi wakidai kuwa Azziad amemchagua Ringtone kwa ajili ya pesa zake wala si upendo.

Hatuna hakika kuhusu uvumi huo lakini tunaweza kusema kuwa msanii Ringtone yupo katika mahaba hata kuandika sentensi vyema hawezi kama vile ilivyoshuhudiwa kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram.

"IS IT REALLY A CRIME TO FALL ON LOVE????" Aliandika Ringtone.

Lakini hayo yote asante kwa picha ambayo imesambaa mitandaoni sasa tunajua wawili hao waliungana mikono ili kufanya kazi.

Kulingana na mimi nikijibu swali ambalo Ringtone aliuliza kwenye mitandao hiyo, kibao ambacho kitaenda kutolewa ni kuhusu mapenzi au kuhusu moyo kuvunjwa.

Ata baada ya kumwaibisha msanii Bahati kwa ajili ya kuvaa mavazi ya wanawake, asante kwa msimamizi wake Ringtone kwa maana alimchagulia koti ambalo linakaa la wanawake.

Haya hapa mazungumzo ya mashibiki wake;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved