Agizo hilo sasa litafanyika katika afisi za kidiplomasia za kenya kote ulimwenguni na matekelezo yake yanatarajiwa kuanza kufanya kazi hiyo kesho Jumamosi Juni 13, mwaka huu hadi pale kiongozi huyo atakapozikwa.
“May the late President Pierre Nkurunziza rest in eternal peace,” umesoma ujumbe wa rais.
Nkurunzinza alifariki akiwa na miaka 55 baada ya kudaiwa kuwa alikumbwa na mshutuko wa moyo.
.
