logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rais Kenyatta aagiza bendera kufungwa nusu mlingoti kwa heshima ya Nkurunziza

Rais Kenyatta aagiza bendera kufungwa nusu mlingoti kwa heshima ya Nkurunziza

image
na

Yanayojiri02 October 2020 - 07:49
4u6AZwM9.jfif
Rais Uhuru Kenyatta ameagiza bendera ya Kenya pamoja na jumuiya ya Afrika Mashariki EAC kufungwa nusu mlingoti kama heshima kwa raisa wa Burundi Piere Nkurunziza aliyefariki mapema wiki hili.

Agizo hilo sasa litafanyika katika afisi za kidiplomasia za kenya kote ulimwenguni na matekelezo yake yanatarajiwa kuanza kufanya kazi hiyo kesho Jumamosi Juni 13, mwaka huu hadi pale kiongozi huyo atakapozikwa.

“May the late President Pierre Nkurunziza rest in eternal peace,” umesoma ujumbe wa rais.

Nkurunzinza alifariki akiwa na miaka 55 baada ya kudaiwa kuwa alikumbwa na mshutuko wa moyo.

.

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved