logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Miaka yangu ya kungoja ilikuwa inatisha,' Msanii Kambua asherehekea siku ya kuzaliwa ya mwanawe

'Miaka yangu ya kungoja ilikuwa inatisha,' Msanii Kambua asherehekea siku ya kuzaliwa ya mwanawe

image
na

Habari01 October 2020 - 10:26
Mtangazaji na msanii wa nyimbo za injili Kambua hii leo anasherehekea siku ya kuzaliwa ya mwanawe  Nathaniel Muhoro baada ya kufikisha mwaka mmoja tangu azaliwe.

Huku akisherehekea siku hiyo ya kipekee aliandika ujumbe wenye mahabara kwa mwanawe, huku watu mashuhuri wakituma jumbe zao kwenye mitandao ya kijamii.

"Zawadi yangu kutoka mbinguni amefikisha mwaka mmoja hii leo, si Mungu ni mwema? Happy birthday my sweet little boy 💙💙💙." Kambua Aliandika.

Mtoto wangu Nathaniel ni muujiza ni mbadilishi maneno na hata mwenye historia kama vile mume wangu husema na ni naamini kuwa maisha yake yatazidi kuleta utukufu wa Mungu,"

Hizi hapa jumbe za baadhi ya mashabiki wake;

Kate Actress: Happy birthday baby Nate you are such a blessing , may God protect you and favor you all the days of your life ❤️❤️ well done Mami

Grace Msalame:Awww how time flies!! Happiest Birthday to your beautiful bundle of joy Mama🎂🤗💙

Shiks Kapienga:Aaawwwww Happy Birthday to him ❤

Timeless Noel:Happy Birthday NATE 🥳

Ben Cyco: Happy birthday to him, such a blessing 🎂🙏

Wanjiru Njiru:Happy birthday to him❤️❤️”

Karwirwa Laura:Happy Birthday our sweet bubba💙💙💙”

Joyce Omondi:Happy 1st birthday to baby Nate! And he's already a techie 😋”

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2026. All rights reserved