logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Jinsi msanii wa WCB Mbosso alivyopoteza shilingi milioni 100

Jinsi msanii wa WCB Mbosso alivyopoteza shilingi milioni 100

image
na

Habari01 October 2020 - 10:08
Staa wa Bongo Mbosso  ameathiriwa pakubwa na janga la corona kama wasanii wenzake atika fani ya muziki kwani anasema amepoteza takriban shilingi milioni 100  kwa ajili ya kupoteza  biashara kutokana na hali ilivyo sasa .

Mbosso amesema amelazimika kuziacha show kadhaa na kwa jumla angelipwa kati ya shilingi milioni 80 na 100 za Tanzania endapo angezipisha show hizo .

 Nilikuwa na show kadhaa  za kupiga na pia nilifaa kufanya ziara ya kwenda ufaransa . yote haya yalifaa kufanyika mwezi aprili lakini sasa hakuna njia nyingine vitu vimesimama

Diamond awali pia amedai kwamba amepoteza  takriban shilingi bilioni 3 za Tanzania ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 100 za Kenya .

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved