logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mshangao baada ya Wakenya kugundua wamesajiliwa kwenye vyama vya siasa bila idhini

Imeibuka kuwa ofisi ya msajili wa vyama vya kisiasa imekuwa ikiwasajili Wakenya kwenye vyama tofauti vya kisiasa bila idhini yao.

image
na Radio Jambo

Burudani18 June 2021 - 19:55

Muhtasari


鈥akenya wengi wameeleza mshangao wao baada ya kuingia kwenye tovuti rasmi ya huduma za umma  na kupata kuwa wamesajiliwa kama wanachama wa chama fulani cha kisiasa. 

ORPP

Huenda wewe ni mwanachama  rasmi wa chama fulani cha kisiasa nchini na huna fahamu!

Wakenya wengi wameendelea kueleza ghadhabu yao baada ya kugundua kuwa wamesajiliwa katika vyama vya kisaisa bila idhini.

Imeibuka kuwa ofisi ya msajili wa vyama vya kisiasa imekuwa ikiwasajili Wakenya kwenye vyama tofauti vya kisiasa bila idhini yao.

Kati ya vyama ambavyo wengi wameandikishwa ni pamoja na cha Jubilee, ODM na Amani National Congress. 

Wakenya wengi wameeleza mshangao wao baada ya kuingia kwenye tovuti rasmi ya huduma za umma  (orpp.ecitizen.go.ke ) na kupata kuwa wamesajiliwa kama wanachama wa chama fulani cha kisiasa. 

Wengi wameeleza ghadhabu yao kupitia mitandao ya kijamii. Hizi hapa baadhi ya hisia za Wakenya

Jua chama ulichosajiliwa kwa kuingia kwenye tovuti ya   (orpp.ecitizen.go.ke)

Maarufu Zaidi

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo漏 Radio Jambo 2026. All rights reserved