logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Henry Rotich yuko huru katika kesi ya bwawa la Arror na Kimwarer

Mahakama imesema kuwa hakuna ushahidi wa kutosha dhidi ya waziri huyo wa zamani.

image
na Radio Jambo

Habari14 December 2023 - 10:13

Muhtasari


  • Wakati wa uamuzi huo, ilibainika kuwa waziri huyo wa zamani hakuwa na kesi ya kujibu licha ya mlipa ushuru kupoteza Ksh63 bilioni.

Aliyekuwa Waziri wa Hazina Henry Rotich aliachiliwa huru  Alhamisi na mahakama  katika kesi ya  Kashfa ya Arror na Kimwarer.

Wakati wa uamuzi huo, ilibainika kuwa waziri huyo wa zamani hakuwa na kesi ya kujibu licha ya mlipa ushuru kupoteza Ksh63 bilioni.

Mahakama imesema kuwa hakuna ushahidi wa kutosha dhidi ya waziri huyo wa zamani.

“Washtakiwa wote katika kesi hii wanaachiwa huru chini ya kifungu cha 210 kutokana na kukosekana kwa ushahidi kutokana na upande wa mashtaka kupuuza wajibu wake,” ilisomeka sehemu ya uamuzi huo

Rotich alituhumiwa kufuja pesa za ujenzi wa mabwawa hayo.

Mengi yafuata;

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved