logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fahamu mataifa ambayo yameshinda Kombe la Dunia tangu 1950

Brazil imetwaa kombe hilo mara nyingi zaidi huku ikiwa imeibuka mshindi mara tano.

image
na

Habari15 November 2022 - 06:19

Muhtasari


•Ufaransa iliibuka washindi katika shindano la mwisho la Kombe hilo lililofanyika kwa Urusi mwaka wa 2018.

Mataifa manane ya dunia yamewahi kushinda Kombe la Dunia tangu mwaka wa 1950. Mashindano ya kwanza ya Kombe la Dunia yalifanyika mwaka wa 1930 ambapo Uruguay illibuka mshindi.

Brazil imetwaa kombe hilo mara nyingi zaidi huku ikiwa imeibuka mshindi mara tano.

Ufaransa iliibuka washindi katika shindano la mwisho la Kombe hilo lililofanyika kwa Urusi mwaka wa 2018.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved