logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fahamu kaunti ambazo wanaume wana wapenzi wengi zaidi

Kaunti za Narok, Elgeyo Marakwet na Pokot Magharibi zinaongoza katika orodha hiyo.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri18 January 2023 - 10:22

Muhtasari


•Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu ya Kenya iliachia ripoti kuhusu Utafiti wa idadi ya watu na afya mwaka wa 2022.

Siku ya Jumanne Januari 17, Ofisi ya Kitaifa ya Takwimu ya Kenya iliachia ripoti kuhusu Utafiti wa idadi ya watu na afya mwaka wa 2022.

Utafiti huo ulifanyika kati ya Februari 17 hadi Julai 13 kati ya wanawake wenye umri wa miaka 15 hadi 49 na wanaume miaka 15 hadi 54.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved