Muhtasari
• Wanahabari wa kike wanashauriwa kutoweka maisha yao kwenye mkondo wa hatari wakati wa maandamano.
• Pia, MCK iliwashauri kutembea na firimbi au kengele za ubakaji ili kuwasaidia kupaza sauti endapo tukio la ubakaji au unyanyasaji wa kingono utakapojaribu kutokea kwao.