logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ndege ya abiria yaanguka na kulipuka moto eneo la Kwachocha, Malindi

Picha za video zilizosambazwa mtandaoni zilionyesha sehemu za ndege hiyo zikiwa barabarani

image
na Brandon Asiema

Hivi Punde10 January 2025 - 16:40

Muhtasari


  • Ndege hiyo inadaiwa kuwaka moto baada ya kuanguka