logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Boeng inajenga ndege 2 mpya za Air Force One inayotarajiwa kukamilika mwakani

Ndege hiyo ina chumba cha rais, chumba cha mamkuli na chumba cha mikutano, duka la dawa, vifaa vya matibabu ya dharura

image
na Brandon Asiema

Kimataifa10 January 2025 - 15:34

Muhtasari


  • Air Force One ni ndege maalum inayotumiwa na marais wa Marekani.
  • Kampuni ya Boeng pia imechangia dola milioni moja (Ksh 129.45) kwa ajili ya shughuli ya uapisho wa rais mteule .