Muhtasari
• Rais alitangaza kuunda jopo maalum kumchunguza Chitembwe kuambatana na pendekezo la Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) iliyopendekeza jaji huyo achunguzwe.
• Maombi manne yaliwasilishwa na aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko, Francis Wambua, Imgrad Geige na David Leboo Ole Kilusu wakitaka aondolewe.
• Tume ya JSC iliamua kwamba maombi yaliyowasilishwa kutaka Chitembwe kufurushwa yaliwasilisha sababu za kutosha za kuondolewa kwake.