Mawaziri wa zamani kutoka baraza lililovunjwa na ambao wamerudishwa kwenye baraza jipya

Kindiki,Duale ,Soipan Tuya ni miongoni mwa walioteuliwa tena.

Muhtasari

•Kindiki,Duale ,Soipan Tuya ni miongoni mwa walioteuliwa tena.

Rais Ruto
Image: twitter

Rais William Ruto amewateua mawaziri 11 wa baraza la mawaziri kwa serikali yake huku wengine wa mawaziri wakiteuliwa tena.

Tazama Orodha ya mawaziri walioteuliwa tena;

Kithure Kindiki  - mambo ya ndani na utawala wa kitaifa

Aden Duale - Ulinzi

Alice Wahome - ardhi

Davis Chirchir -  barabara

Soipan Tuya -Mazingira

Rebecca Miano-Mwanasheria mkuu