logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Sonko afichua sura ya mwanamume aliyejifanya mwanamke kuwalaghai wanaume wengine

Mwanamume huyo amekuwa akijifanya mwanamke ili kuwalaghai wanaume wenzake.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri02 November 2022 - 10:38

Muhtasari


  • Kutokana na jinsi mwanamume huyo alivyojipodoa,hamna mtu ambaye angemtambua kuwa ni mwanamume
Aliyekuwa gavana wa Nairoi, Mike Sonko

Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko kupitia kwenye ukurasa wake wa facebook,amefiichua sura ya mwanamume mmoja ambaye amekuwa akijifanya mwanamke.

Mwanamume huyo amekuwa akijifanya mwanamke ili kuwalaghai wanaume wenzake.

Kutokana na jinsi mwanamume huyo alivyojipodoa,hamna mtu ambaye angemtambua kuwa ni mwanamume.

Kulingana na yeye, mwanamume huyo amekuwa akiwaibia wanaume kupitia sura yake ya kupendeza kama mwanamke.

Sonko aliwaambia mashabiki wake kwamba mtu huyo tayari amenaswa.

"Imagine this cute woman is a man. Amekuwa akitoanisha wanaume pesa na kuwakunywa wakitaka kwenda na yeye anawatoshanisha ati ako na periods. Wanaume walioekwa box wakashanga kwani ni periods gani hizo haziishi kila siku. Wampangia and reported him to the police. Akawaiwa,"Sonko Aliandika.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved