logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Dunia simama nishuke! Tazama video, mhubiri akiwataka waumini wa kike kuvua chupi na kuwanyoa nyeti zao+Video

Watu wengi katika mitandao ya kijamii wamekea sana kitendo hicho

image
na Radio Jambo

Yanayojiri13 October 2020 - 07:39

Muhtasari


 

  •  Video hiyo imewashangaza watu wengi 
  • Mhubiri anaahidi miujiza kwa waliofanyiwa kitendo hicho 

 

Kwa kweli walimwengu tumevuka mipaka na hasa katika kulitumia jina la mwenyezi Mungu vibaya. Kumekuwa na visa vya watu kufanya vitendo vya kutisha na ajabu kwa kulitumia jna la mola kumbe bado mengi yanakuja.

 Video moja inayosambazwa mitandaoni imeomunyesha mhuburi mmoja nchini Ghana akiwaita waumini wake wa kike kanisani na kisha kuwaagiza watoe chupi zao na kuwanyoa sehemu zao nyeti! Mchana peupe huku waumini wengine wakionekana kushangilia .

 Katika  video hiyo, kuna mwanamume wa pili ambaye anamsaidia mhubiri huyo katika  kazi hiyo. Wanawake wa umri wa makamu na umri mdogo wanaonekana wakikimbia kwenda jukwaani ili kunyolewa  nywele za  siri  na ‘mtu huyo wa mungu’

 

Pasta huyo kwanza anachukua muda kuwaombea  waumini hao  na anasikiza akiongea lugha ya kwao kisha kuwashika sehemu zao za siri na kuanza kuwatoa chupi na baadaye kuwanyoa.

 Watu wengi katika mitandao ya kijamii wamekea sana kitendo hicho.

Kwa kweli dunia yaelekea wapi?

(Mhariri Davis Ojiambo)

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved