Muhtasari
• Mwanafunzi wa darasa la Saba katika shule ya msingi ya Buema, katika kata ya Musikoma, eneo bunge la Kanduyi alifariki dunia baada ya kupigwa na radi siku ya Alhamisi.
• Alikuwa amerejea kutoka shuleni na alikuwa akiwalisha sungura wake kisa hicho kilopotokea.
• Babake marehemu alisema mwanafunzi huyo alichuna mboga na kuanza kuwalisha sungura wake lakini kukatokea radi kali.