logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Majonzi! Wanafamila 7 wateketea hadi kufa Embu

Saba hao ni  pamoja na mume, mke, watoto wao watatu na wajukuu wawili.

image
na

Habari02 October 2022 - 08:38

Muhtasari


•Naibu kamishna wa Kaunti Ndogo ya Embu Mashariki Jane Waruinge alisema mkasa huo ulitokea Jumapili asubuhi.

Watu saba wamefariki katika kijiji cha Ngimari, kaunti ya  Embu baada ya moto kuteketeza nyumba yao hadi kuwa majivu Jumapili asubuhi.

Miongoni mwa waliopoteza maisha yao ni pamoja na mume, mke, watoto wao watatu na wajukuu wawili.

Akithibitisha kisa hicho, naibu kamishna wa Kaunti Ndogo ya Embu Mashariki Jane Waruinge alisema mkasa huo ulitokea Jumapili asubuhi.

 "Hatujatambua chanzo cha moto huo lakini tuna maafisa wetu wote katika eneo la tukio na uchunguzi unaendelea," alisema.

Mengine yanafuata...


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved