logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mike Sonko amzawadi Polycarp Igathe pombe ya bei ghali

Sonko alikutana na aliyekuwa naibu wake Polycarp Igathe wikendi.

image
na Japheth Nyongesa

Yanayojiri14 January 2025 - 16:28

Muhtasari


  • Wawili hao walikutana  kwenye sherehe ya kuajindaa kwa harusi ya kitamaduni ya mwanawe Polycarp Igathe.
  •  Sonko alimuzawadi Polycarp Igathe  na pombe aina Johnnie Walker King George V edition .


Gavana wa zamani wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko alikutana na aliyekuwa naibu wake Polycarp Igathe katika mtaa wa Runda Nairobi.

Wawili hao walikutana  kwenye sherehe ya kuajindaa kwa harusi ya kitamaduni ya mwanawe Polycarp Igathe, Matilda Igathe na mchumba wake Luios Muihengi Kimanzi.

Sherehe hizo ziliwaleta pamoja ndugu, jamaa pamoja na marafiki wakiwemo  vigogo mashuhuri kutoka sehemu tofautitofauti.

Sonko ambaye anajulikana kuwa na uwezo wa kununua mivinyo za bei ghali alimuzawadi Polycarp Igathe  na pombe aina Johnnie Walker King George V edition inayogharimu thamani ya Ksh 76,000 kwa chupa moja.

Akipokea zawadi hiyo Igathe alimushukuru   Sonko akisema “ hii pombe  ya walker king imeletwa na bosi wangu , Gavana wangu sonkoree.  Sasa wewe ni rafiki yangu , umekuja na familia ya kimani umekua mkoo, tukikutaa uko inje wewe ndo unalipa bill.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved