logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kalonzo agura Azimio,kuwania urais kwa tikiti ya OKA

Kalonzo amesema kwamba hakuna imani katika muungano wa Azimio.

image
na Radio Jambo

Habari16 May 2022 - 10:24

Muhtasari


  • Kalonzo agura Azimio,kuwania urais kwa tikiti ya OKA

Kiongozi wa chama cha Wper Kalonzo Musyoka amegura muungano wa Azimio, huku akitangaza kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti wa tikiti ya OKA.

Huku akizungumza katika makazi yake makuu ya Karen Kalonzo amesema kwamba hakuna imani katika muungano wa Azimio.

"Kama hamna imani, huwezi fanya biashara,kwa muda gani tutajitolea hata baada ya kujitolea wanaharibu," Kalonzi Alisema.

Kalonzo amesema kwamba jina lake liko tayari IEBC kama mgombea wa urais wa chama cha Wiper.

"Kama OKA haingekuwa imeharibika ningemshauri ndugu yangu Gideon Moi awe mgombea mwenza wangu."

Mengi yafuata;

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved