logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Chebukati na DCI watatua tofauti zao kuhusiana na stika za IEBC

Mutyambai alisema waliafikiana katika mkutano na Mwenyekiti wa IEBC siku ya Alhamisi.

image
na Radio Jambo

Makala28 July 2022 - 13:31

Muhtasari


• IEBC na polisi waliahidi kushirikiana kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa njia huru na yenye uazi bila vurugu.

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) na idara ya polisi wametatua tofauti zao zilizotokana na sakata ya kuzuiliwa kwa stika za tume ya uchaguzi zilizonaswa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA). 

Kulingana na Inspekta Jenerali wa Polisi Hillary Mutyambai, hii ilifuatia mkutano wa mashauriano na Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati siku ya Alhamisi. 

Kwa upande wake, Chebukati alisema kuwa taasisi hizo mbili zitaendelea kushirikiana katika maandalizi ya uchaguzi ili kuhakikisha kuwa kunafanyika uchaguzi huru na wenye haki usiokuwa na vurugu.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved