logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Patanisho:Mume wangu alinichapa karibu meno yatoke nilipoenda kanisa

Baada ya kufanya juhudi zetu za kumpigia mkewe simu alikuwa na haya ya kusema.

image
na Radio Jambo

Makala30 March 2021 - 05:57

Muhtasari


  • Katika kitengo cha patanisho bwana Victor alituma ujumbe apatanishwe na mkewe Carol ambaye walikosna na kumuachia watoto

Katika kitengo cha patanisho bwana Victor alituma ujumbe apatanishwe na mkewe Carol ambaye walikosna na kumuachia watoto.

"Nilikosana na mke wangu, na akaenda kwko nilipopigia wakwe wangu waliniambia kwamba hawajui mahali alipo bali walimtafutia kazi nairobi

Aliniacha na watoto, nikimpigia simu anasema kila wakati atarudi lakini harudi,pia niliona jumbe akiwa amemwambia mwanamume kwamba wanaweza patana nairobi kwa maana amepaa kazi huko

 

Mimi sijui ni kosa gani ambalo nilifanya ili aondokee kwangu," Alieleza Victor.

Baada ya kufanya juhudi zetu za kumpigia mkewe simu alikuwa na haya ya kusema.

"Mwanamume huyo alinichapa baada ya kwenda kanisani karibu meno yatoke kutokana na kichapo ambacho alinipa

Alikuwa anasema kuwa ni yeye atanipa ruhusa ya kuenda kanisani,na pia kwamba nikienda kanisani narudi na vitina

Kurudi nitarudi Aprili 9,"

 

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved