In Summary
•Wakenya wengi ikiwemo wasanii na wanahabari mashuhuri ikiwemo Victoria Rubadiri, Emmy Kosgei, Yvonne Okwara, Kirigo Ngarua, Terryanne Chebet na wengineo wametuma jumbe zao za rambirambi.
•"Kuna shimo kubwa lililoachwa moyoni mwangu kwa kuwa Baba wa Mbinguni uliyenifunza kupenda na kuhudumia amekuita nyumbani kwake. Ni Mungu tu anayeweza kujaza nafasi uliyoacha kwa kuwa urithi wako ni mkubwa kuliko maisha" Omondi aliandika.