In Summary
  • Aslay awashangaza mashabiki baada ya kusema azikwe pamoja na mwanawe ambaye bado yuko hai

Msanii kutoka Tanzania Aslay amewaacha wanamitandao midomo wazi baada ya kusema kwamba anataka kuzikwana bintiye siku akifa.

Msanii huyo alipakia picha yake na bintiye ambaye bado yuko hai  na kuandika ujumbe ufuatao;

"Tukifa Tuzikwe Wote Ndio Mimi na @mozza__aslay," Aliandika Aslay.

Ni ujumbe ambao uliibua hisia tofauti na hii hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

mashwishwitv: Chezea mtoto wa kwanza 😂😂😂😂

officialmakata: Unacheza na kizikwa wote nini wewe hujaonaga mtu anamkimbia mzazi wake aliekufa? 😁😁😁

miangaiko_mipango: Sawa tuta fanya ivyo wanangu maagizo hayo

ngongosi: Atazikwa pembeni yako au wewe pembeni yake sio wote cheee

officialdinnah_: 😁😁😁aje sasa but inshaAllah 🙌

ericajames891: Mfuniko na pipaaa❤️siyo lwakufanana uko na mwanao brooo

View Comments