In Summary
• Msanii chipukizi Diana Marua amesema kwamba hatua ya kumtambua aliyeidukua akaunti yake ya Youtube inaendelea kutoa matumaini.
• Marua alisema kwamba mchakato wa kuhakikisha akaunti hiyo imerejea katika jina lake inaendelea na anaamini atarejelea kazi yake Kama kawaida.
• Pia ameshukuru usimamizi wa YouTube na kampuni ya NGOMMA kwa kuingilia kati swala hili na pia mashabiki wake kwa kumtilia dua.