In Summary
• Aliyekuwa msanii katika lebo ya Kondegang, Country Boy ameondoka rasmi katika kundi hilo na kuweka wazi sababu zake za kugura.
• Akizungumza na vyombo vya habari Jumatatu 31/01/2022, Country Boy amesema kwamba anashukuru Harmonize pamoja na usimamizi wa Kondegang kwa ujumla kwa nafasi waliyompa kukuza kipaji chake na pia kuwafikia mashabiki zaidi ndani ya Bongo na ulimwenguni.