In Summary
• Msanii wa miziki ya injili kutoka Tanzania, Christina Shusho amesema kwamba yupo tayari na anajiandaa kwa tuzo za BET.
• Aidha msanii huyo amesema kwamba kwa sasa analenga zaidi kuwashirikisha wasanii kutoka taifa la Congo katika kazi zake, ili kusukuma muziki wake nje ya Tanzania.