In Summary
• Baada ya kimya kirefu bila kutoa ngoma yoyote, hatimaye msanii Weezdom amerejea na kibao kipya ambacho amemeshirikisha Carol Leehavi.
• Kupitia ujumbe alioachia katika ukurasa wake wa Instagram, Weezdom amewaomba mashabiki wake kumpa sapoti kwa kutazama kibao hicho na kuwaahidi kwamba sasa amerejea kuchapa kazi.