In Summary
• Msanii Babalevo ameweka wazi kwamba EP yake Diamond Platinumz ilitokana na asilimia ndogo tu ya vibao zaidi ya 200 ambavyo mwanamuziki huyo bado hajaachia.
• Alitaja kwamba Simba ni msanii mkubwa ambaye amechangia pakubwa katika harakati za kukuza muziki wa Bongo, na kwamba anapaswa kupewa heshima yake.