16 May 2023 1 Min Read
Timu zilizotawazwa mabingwa kabla ya msimu 2022/23 kukamilika
Wikendi kufuatia ushindi wa 4-2 dhidi ya Dodoma Jiji, Yanga SC kutoka Tanzania walitawazwa mabingwa mara 29 katika ligi ya NBC, mechi 3 zikiwa zimesalia.
In Summary
• Barcelona ya Uhispania pia walitawazwa mabingwa huku La Liga ikiwa imesalia na mechi 4 kukamilika.