In Summary
• Mawakili wa pande zote mbili, (upande wa Gavana na upande wa bunge la kaunti) walifika mbele ya kamati ya seneti ya wanachama 11 inayosikiliza madi dhidi yake.
• Gavana huyo atawakilishwa na timu ya mawakili wakiongozwa na Paul Nyomodi na Ndegwa Njeru.