In Summary
• Mwanamume mwenye umri wa miaka 28 amepatikana na hatia ya kumnajisi msichana wa miaka 17 na mahakama ya Loitoktok.
• Msichana huyo aliondoka nyumbani kwao bila kuwajulisha wazazi wake na kwenda nyumbani kwa mshtakiwa ambapo alikaa kwa siku nne.
• Mahakama iliambiwa kwamba msichana huyo alituma ujumbe mfupi kwa mamake kwa kutumia simu ya mshtakiwa akimjulisha kuwa alikuwa na mshtakiwa.