In Summary
•Wakenya wamekuwa wakitumia mitandao wa kijamii ya Twitter kuelezea kutoridhishwa kwao na uteuzi wa mkufunzi mpya wa timu ya taifa ya soka Harambe stars Mturuki Engin Farat.
•Baadhi ya Wakenya wameeleza wasiwasi wao kuhusiana na matokeo hafifu ambayo kocha Firat ameandikisha na timu ambazo amekuwa akisimamia hapo awali