Last Updated On 25 January 2021 1 Min Read
Podcast
Mkusanyiko wa yote yanayotukwaza katika siasa uchumi na maendeleo#PodiyaYusufjuma
Licha ya shule kufaulu kuzuia maambukizi ya Corona ,mazingira ya kusomea ni mabovu sana katika shule nyingi
In Summary
- Uchumi umevurugika na serikali imeondoa afueni za kodi zilizokuwa zimetangazwa awali
Katika podcast hii tunazungumza kuhusu yote tuliofanya kwa njia isiofaa kuanzia kuvuruga uchumi ,janga la corona na mgomo wa wahudumu wa afya katika kaunti mbali mbali .Pia ilisikitisha kushuhudia wanafunzi wakirejea shuleni na kuendelea kusoma chini ya maizngira magumu .
The video could not be loaded.
Katika podcast hii tunazungumza kuhusu yote tuliofanya kwa njia isiofaa kuanzia kuvuruga uchumi ,janga la corona na mgomo wa wahudumu wa afya katika kaunti mbali mbali .Pia ilisikitisha kushuhudia wanafunzi wakirejea shuleni na kuendelea kusoma chini ya maizngira magumu .