31 January 2021 1 Min Read
Mahusiano
Mbona imekuwa vigumu kwa vijana wa siku hizi kudumu katika mahusiano ama ndoa?#Podiyayusufjuma
wavulana wanawalaumu wasichana nao wasichana wanawalaumu wavulna kwa hali hiyo
In Summary
- Vijana wengi wanakosa uvumulivu wa kusalia katika mahusiano
- Wengi wameamua kusalia single baada ya kupitia mambo yasiofurahisha katika mahusiano
Katika podi hii leo tunazungumzia kuhusu hali ya sasa ambapo vijana wengi wanapata ugumu kusalia katika mahusiano kwa muda mrefu .
The video could not be loaded.
Katika podi hii leo tunazungumzia kuhusu hali ya sasa ambapo vijana wengi wanapata ugumu kusalia katika mahusiano kwa muda mrefu .Wavulana kwa wasichana wanatupiana lawama kuhusu wanaovuruga mahusiano na kufanya watu wengi kutosalia katika mahusiano kwa muda mrefu au hata kwa kipindi cha kudumu .Je tatizo ni jipi?
Wavulana kwa wasichana wanatupiana lawama kuhusu wanaovuruga mahusiano na kufanya watu wengi kutosalia katika mahusiano kwa muda mrefu au hata kwa kipindi cha kudumu .Je tatizo ni jipi?