Leo studioni tulikuwa naye mtangazaji Anita Nderu a,baye amekuwa akivuma kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuweka mambo wazi kwamba yeye ni jamii ya LGBTQ.
"Nikiweka kitu kwenye mitandao ya kijamii au nikipakia kitu hayo ni maoni yangu, sijali kuhusu maoni ya mtu mwingine
Ndio kuna wale ambao wanasema mambo mabaya kunihusu kwenye mitandao na ambao ni marafiki wa karibu, baada ya muda mrefu huwa wananitumia jummbe na kuniomba msamaha mimi huwa nawaambia hukusema hayo hapa nenda kwenye mitandao ya kijamii ukaombe msamaha huko
Baada ya kuweka mambo waki kuwa mimi ni LGBTQ, watu walinitoroka na hata wengine kukataa kufanya kazi na mimi kwa ajili ya hayo." Alieleza Anita.