logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Rushwa ya ngono ipo kubwa sana kwenye muziki'-Stara

Moja ya changamoto inayoikabili muziki nchini Tanzania ni rushwa ya ngono.

image
na Radio Jambo

Makala18 November 2022 - 08:54

Muhtasari


• Stara alisema ni muda sasa wasanii wa kike waweze kujisimamia na kukabiliana na tatizo la rushwa ya ngono.

Moja ya changamoto inayoikabili tasnia ya muziki nchini Tanzania inatajwa kuwa ni rushwa ya ngono.

Mwanamuziki wa siku nyingi Stara Thomas anathibitisha hilo kwa kusema kuwa wanamuziki wa kike ndiyo waathirika wakubwa zaidi. Akiongea na mwandishi wa BBC mkongwe huyo wa muziki wa zuku nchini anasema kuwa ni muda sasa kwa wasanii wa kike kuwa na taaluma ya muziki ili waweze kujisimamia na kukabiliana na tatizo hilo. Mwandishi wa BBC Veronica Mapunda amezungumza naye.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved