Shilingi kwa ya Pili
‘ Huwezi kumkataa mwanao’ Mamake Diamond amwambia
TOM KAKA ANA WAZOOM WAMBEA. JEE WATAONGEA NINI JUU YA MFANANO WAKE YEYE NA DINGI .
- Diamond baadaye aliziweka picha zake na Naseeb Junior huku mashabiki wake wakishangaa jinsi anavyofanana na mtoto wake
- Video yao wakicheza muziki na kuimba pamoja ao wao Gere imesambazwa mitandaoni na kuzua maoni mbali mbali .
Diamond Platnumz na Tanasha Donna walikutana mwishoni mwa wiki tangu walipotengana mwezi machi mwaka jana . Tanasha aliondoka Tanzania na mwanawe akiwa na umri wa miezi sita na Diamond hajamuona mtoto huyo tangu hapo hadi wikendi wakati Tanasha alipovuka mpaka kwenda Tanzania ili kumpeleka mtoto wake amuone baba yake .
Tanasha yaoneana alizua kumbukumbu za kale na Diamond na walionekana katika karamu moja siku ya jumamosi usiku mzima . Video yao wakicheza muziki na kuimba pamoja ao wao Gere imesambazwa mitandaoni na kuzua maoni mbali mbali .
Diamond baadaye aliziweka picha zake na Naseeb Junior huku mashabiki wake wakishangaa jinsi anavyofanana na mtoto wake.
Mamake Diamond Sandra Kassim aka Mama Dangote aliweka picha yake na mwanawe na kusema
TOM KAKA ANA WAZOOM WAMBEA. JEE WATAONGEA NINI JUU YA MFANANO WAKE YEYE NA DINGI .
Haya hapa baadi ya maoni waliotoa wafuasi wake Diamond .
mama_dangote HII NI BALAA ATA KUKU HARUKI
_chokuu Copy Paste ♥️
sharifa3728 Yessssssss SIMBA HUYU NDIO MWENYEEEWEEEE SIMBAAAAAAA THE LION KING
naviomusic @diamondplatnumz You cannot run from the forefathers!
chaggaempress Tanasha kakupa your photocopy please love this woman.
mercydlai001 Look-alike..Like father like son
sandrah_sanchez Waaah copy and paste even the smile tanasha amejua kukomesha zari
rachelbahati_ This’s your twin, no doubt.
9585m.ary Asante kutuzalia Diamond Kenyaaa
susannjapit Wueehhlakini huyu anakukaa tu from head to toe….
albertsack328 mond photocopy
jayvon_tz He just looks like you
erick_shop Tanasha anatoa vitu si mchezo iyo copy balaa
whinsy.aje Copy paste
cr_yakubu Copy ya diamond platnumz photocopied by Tanasha
chiogoofine_godwin_ Your resemblance
iamkingsadio Duh hii photocopy kweli
chabymastory HATUHITAJI DNA BOSS