In Summary
•Rayvanny alionyesha gari lake jipya kupitia kanda ndogo ya video ambayo alipakia kwenye ukurasa wake wa Instagram.
•Baba Levo alimchana Harmonize kwa kuandika jina la mpenzi wake wa zamani, Kajala Masanja kwenye Range Rover huku akidai kuwa ni kiki tu na gari hilo sio lake.