Wimbo mpya wa msanii wa nyimbo za injili, Christopher Nyangwara, almaarufu kama Embarambamba ‘nimeanza safari’ umepokelewa na hisia mbalimbali.
21:07 @ThisIsBett Whoever is hosting Embarambamba in Nairobi should be called out for putting the artist's life at risk.He should just let him go back to the mud.Look how he almost got involved in an accident if not for the sha https://t.co/Yjw1hSS5CV via @Shawn_Tuesday
— Ma3Route (@Ma3Route) May 3, 2021
Video ya mwanamuziki huyo akinusurika kugongwa na bodaboda iliyokuwa ikisambazwa mtandaon kabla ya kutolewa kwa wimbo iliibua gumzo sana mtandaoni huku Wakenya wakimwagiza Embarambamba kuwa makini anapocheza sarakasi zake.
Kwenye wimbo huo uliowekwa kwenye mtandao wa Youtube siku ya jumanne, mwanamuziki huyo mwenye mitindo ya densi ya kustaajabisha ameonekana kukimbia kwenye barabara iliyo na magari kutoka upande mmoja hado mwingine huku magari yakipita.
Embarambamba puts at risk the lives of a #BodaBoda driver. https://t.co/znttG8BqiL
— BodaBoraKE (@bodaborake) May 7, 2021
There is no way we can tolerate this Embarambamba Nonsense on our roads, He is putting his life at risk as well as the road users. @Ma3Route @road_driving https://t.co/89KqHoRqx8
— Kawangware Finest™️ (@cbs_ke) May 4, 2021
Embarambamba you are really trying to reincarnated yourself to a higher supreme being ,You really taking things too far ,you almost got hit by Bodaboda just because you wanna do your thing ,Hold up your horses death is like a toss of a coin .Don't risk it all just because..b safe pic.twitter.com/DdBqdapmOD
— KabarakFinest001 (@KabarakFinest01) May 3, 2021
Embarambamba you are really trying to reincarnated yourself to a higher supreme being ,You really taking things too far ,you almost got hit by Bodaboda just because you wanna do your thing ,Hold up your horses death is like a toss of a coin .Don't risk it all just because..b safe pic.twitter.com/DdBqdapmOD
— KabarakFinest001 (@KabarakFinest01) May 3, 2021
There is no way we can tolerate this Embarambamba Nonsense on our roads, He is putting his life at risk as well as the road users. @Ma3Route @road_driving https://t.co/89KqHoRqx8
— Kawangware Finest™️ (@cbs_ke) May 4, 2021
Mwanamuziki huyo tokea Nyamira amepata umaarufu mkubwa mno kutokana na sarakasi zinazoambatana na densi zake. Wengi wamestaajabishwa na sarakasi zile huku wengine wakikisia kwamba huenda anahitaji huduma za mtaalamu wa kisaikolojia.
Embarambamba ameendelea kupata umaarufu mkubwa huku akipata mikataba na baadhi ya kampuni tajika.