logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Khalwale aonyesha nia ya kugombea kiti cha ugavana wa Kakamega tena

Atawania kiti hicho kwa mara ya pili mara hii kwa tikiti ya UDA

image
na Radio Jambo

Yanayojiri22 May 2021 - 07:30

Muhtasari


•Atawania kwa tikiti ya UDA

•Aliibuka wa pili kwenye uchaguzi wa 2017

khalwale

Aliyekuwa seneta wa Kakamega na mgombeaji wa kiti cha ugavana Kakamega mwakani 2017, Boniface Khalwale ameonyesha nia yake ya kuwania kiti hicho tena mwaka ujao.

Kupitia akaunyi yake ya Twitter, mwanasiasa huyo ambaye ni mwandani wa naibu rais William Ruto amekumbusha watu kuwa atakuwa akiwania kiti hicho kwa tikiti ya UDA.

Khalwale aliibuka wa pili baada ya kushindwa na Gavana Wycliffe Oparanya mwakani 2017. Atakuwa akitazamia kumridhi Oparanya baada ya kukamilisha mihula yake mbili inayoruhusiwa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved