Zaidi ya nusu ya vijana wanaoishi na HIV wanapata matibabu

Picha kwa hisani ya: ruralreporters

Zaidi ya nusu ya vijana wanaoishi na virusi vinavyosababisha ugonjwa wa ukimwi wanaweza kufikia matibabu.

Celestine Ndinda kutoka baraza la kuthibiti maambukizi ya ukimwi anasema asilimia 42 ya vijana wanaoishi na HIV wanatumia dawa za kupunguza makali huku akiongeza kwamba kuna umuhimu wa wote kutumia dawa hizo ili kupunguza idadi ya wale wanaoaga dunia.